1,728,869 research outputs found
Ubainishaji wa Kejeli Zilizomo kwenye Nyimbo za Taarab za Khadija Kopa
Makala hii inahusu ubainishaji wa kejeli zilizomo kwenye nyimbo za taarab za Khadija Kopa. Data za msingi zilipatikana kwenye nyimbo za taarab za Khadija Kopa. Mbinu iliyotumika kupata data ni usikilizaji makini. Mtafiti alizisikiliza nyimbo 7 za taarab za Khadija Kopa katika mtandao wa “You Tube” ambazo ziliwasilishwa na kufanyiwa uchambuzi kwa njia ya maelezo. Nyimbo hizo ni Full Stop, Top in Town, Mwanamke Mambo, Ngwinji, Nalijua Jiji, Kinyang’unya na Mjini Chuo Kikuu. Mjadala wa data zilizowasilishwa uliongozwa na nadharia ya Semiotiki. Matokeo ya utafiti huu yanaonesha kuwa nyimbo za taarab za Khadija Kopa zimesheheni kejeli mbalimbali kama vile “heri kuvaa kandambili kuliko mdundo mbovu”, “hakutaki pesa mbili”, “pale panapo utamu, wamepapamba maua”, “sharobaro kapewa kikombe, akasema nangoja mrija men”, “wengine si wanaume, magumegume”, “Mwanamke Mambo”, “kama wewe mwenye nyumba ona mie kanitaka ooo kanitaka”, “nampa kitumbua mafuta hujirambia”, “ngoma namtikisia”, “hutokula hutokula bibi peke yako”, “ooo kisa mkore ngoma nimeichukua”, “mpira ukirushwa nadaka, nafunga goli kwa tikitaka”, “mdomo wako mchafu hasa nani akutake”, “dege lisiloliwa”, “ya wenzio wayavalia viatu lione hilooooooo”, “mjini shule mjini chuo kikuu” na “ameshageuka uda na kila mtu anapanda”. Kejeli zilizobainishwa zimetumiwa na mwimbaji kufikisha ujumbe mbalimbali kwa hadhira iliyokusudiwajami
Khadija Riadi
Il contributo fa parte della sezione del volume 'Voci dal Campo', è un ritratto dell'attivista Khadija Riadi, esponente di spicco dell'Associazione marocchina per i diritti umani (AMDH) ed è il risultato di molteplici interviste svolte in Marocco dall'autrice
Khadija, Yasmina, Fatiha et les autres
Khadija, Yasmina, Fatiha et les autres. In: Les Nanas Beurs, n°0, 1996. p. 6
The Share of Khadija Mastoor in Evolution of Urdu Novel: Zameen
Khadija Mastoor is an eminent novelist of progreesive era. She highlightes economic and social issues in her several short stories. She considerably added in the field of literature by writing novels Angan and Zameen that occupy their own comprehensive status. She presents Zameen. After the partition of sub-continent novel writing was badly effected by the brutality and oppusion of that age. Nearly every author wrote on this great tragedy of bloodshed of the sub continent. It was a sound of agitation and protest which was raised by the writer community. Zameen is an evident example of Khadija Mastoor's loyality with her mother land. Zameen is presentation of such characters who are indulged hankering wealth in a disgraceful manners after forgetting their past.This novel is a good piece of satire on those people who wanted to be so- called respectable mark of society after hoalding money from different means. Khadija Mastoor has critisized the ruler's outdated system.Her novel representes pakistani socio economic system. It is also a proof of the art and technique of Khadija Mastoor prose writing
01.02.2024 - Khadija Ahmed
Host: Rose Barboza
Guest: Khadija Ahmed
On the first Tuesday of every month, Rose Barboza presents the Black Owned Maine Podcast. In this series, Rose sits down with Black entrepreneurs in Maine to hear their stories and inspire the next generation of wealth builders
The Share of Khadija Mastoor in Evolution of Urdu Novel: Zameen
Khadija Mastoor is an eminent novelist of progreesive era. She highlightes economic and social issues in her several short stories. She considerably added in the field of literature by writing novels Angan and Zameen that occupy their own comprehensive status. She presents Zameen. After the partition of sub-continent novel writing was badly effected by the brutality and oppusion of that age. Nearly every author wrote on this great tragedy of bloodshed of the sub continent. It was a sound of agitation and protest which was raised by the writer community. Zameen is an evident example of Khadija Mastoor's loyality with her mother land. Zameen is presentation of such characters who are indulged hankering wealth in a disgraceful manners after forgetting their past.This novel is a good piece of satire on those people who wanted to be so- called respectable mark of society after hoalding money from different means. Khadija Mastoor has critisized the ruler's outdated system.Her novel representes pakistani socio economic system. It is also a proof of the art and technique of Khadija Mastoor prose writing
Interview with Khadija Souissi
مقابلة مع الممثلة المسرحية التونسية، خديجة السويسي، تناقش فيها مهنتها التمثيلية الثرية في المسرح والدراما التونسية وعن الفرق التي شاركت فيها مثل فرقة ""مدينة الكاف."" قامت بالمقابلة درية شرف الدين.An interview with Tunisian theater actress, Khadija Souissi, in which she discusses her acting career in Tunisian theater and drama, and participation in theater groups, such as the ""Medina El Kef"" troupe. The interview was conducted by Doria Sharaf El-Din
Accueil de Mme Khadija Qamch (Univ. Ibn Tofail, Kenitra, Maroc)
Le Centre Camille Jullian (CCJ, UMR 7299) a le plaisir d’accueillir du 27 novembre au 11 décembre 2023 : Mme Khadija Qamch, maitresse de conférences au département d’histoire et civilisation à la faculté des sciences humaines et sociales de l'Université de Ibn Tofail (Kenitra, Maroc). Durant son séjour, M. Mme Khadija Qamch effectuera des recherches bibliographiques dans ses domaines d’intérêts, à savoir l’image de l’Afrique du nord antique d’après la mythologie gréco-romaine et les rel..
- …
